Music | Lifestyle+Fashion | Antivirus | Love+Relationships | Business+Politics | Sport | TUMA Registrations

You are here:   HomeSportCuf yatuma rambirambi kifo cha Mafisango
| + -

Cuf yatuma rambirambi kifo cha Mafisango

Friday, 18 May 2012 18:31 Deiwaka World News - Sports News
Print PDF

Cuf yatuma rambirambi kifo cha Mafisango

Chama cha Wananchi (Cuf), kimetuma salama za rambirambi kwa uongozi na mashabiki wa Klabu ya Simba kufuatia kifo cha nyota wao, Patrick Mafisango.

Mchezaji huyo wa kutegemewa wa Simba, alifikwa na mauti leo asubuhi kwa ajli ya gari, eneo la Tazara, Dar es Salaam.

Hii ndiyo taarifa yenyewe ya Cuf.