Diamond anunua mkoko wa bei mbaya
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdu Juma ‘Diamond’, amenunua mkoko wa bei mbaya.
Mkoko huo aina Toyota Land Cruiser Prado, Diamond ameanza kuutumia rasmi leo na bado hajakamilisha hata taratibu za kuusajili.








Hii inathibitisha mafanikio yake kimuziki, kwani imekuwa ikielezwa tu kwamba ni msanii wa muziki Bongo anayeingiza mkwanja mkubwa hivi sasa.
Diamond mwenyewe akizungumza na ripota wa site hii, amesema kuwa mkoko huo umemgharimu shilingi milioni 75 kuunua, kuusafirisha, kulipia ushuru hadi kuumiliki.
“Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kununua gari hili, linamaanisha kitu kikubwa sana katika maisha yangu,” alisema Diamond.
Click here for TUMA Registrations.